. CPA. Milton Mailos Lupa
Afisa Mtendaji Mkuu
Wasifu
VITUO VYA UNUNUZI WA AKIBA YA CHAKULA YA TAIFA KWA MSIMU WA 2023/2024
Imewekwa: Jul 24, 2023
Bodi ya Ushauri ya NFRA ikitembelea moja ya kituo cha ununuzi wa nafaka kwa wakulima
Bodi ya Ushauri ya NFRA wakikagua shehena ya nafaka katika ghala la Kanda ya Sumbawanga
Wajumbe wa Bodi ya NFRA wamekutana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Ndugu Gerald Kusaya
Shehena za nafaka ya mpunga zilizoletwa katika kituo cha ununuzi cha Uturo Wilaya ya Mbarali Mbeya.
shehena za nafaka ya mahindi zilizoletwa katika kituo cha ununuzi cha Isongole Wilaya ya Ileje
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) akiwa na Maafisa wa NFRA katika maonesho ya 47 ya biashara Saba Saba
NFRA YATOA WITO KWA WAKULIMA KUJIFUNZA MIUNDOMBINU YA KISASA YA UHIFADHI WA CHAKULA.
WAREHOUSES AND MODERN WAREHOUSES
Wafanyakazi wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wakiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala katika picha ya pamoja
Mhandisi kutoka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Mhandisi Imani Nzobonaliba akitoa maelezo kwa Mhe. Rais Samia, jinsi Mradi huo wa kuongeza uwezo wa uhifadhi wa nafaka unavyo fanya kazi.
Mradi wa Vihenge vya Kisasa na Maghala ya kuhifadhia Nafaka ulio jengwa katika maeneo ya Babati – Manyara, Kanondo – Sumbawanga pamoja na Mpanda – Katavi.
RAIS SAMIA AZINDUA MRADI WA KISASA WA KUHIFADHI NAFAKA
Karibu kwenye Tovuti ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA, Dhana ya usalama wa chakula nchini ni dhana muhimu ambayo imekuwepo tangu enzi za ukoloni ambapo kufuatia majanga mbalimbali kama vile ukame, mafuriko, nk. Soma zaidi
Morogorro....
Dodoma...
Mbeya...
Mbeya - Nane Nane...
Vwawa - Songwe...
Songwe - Ileje...
Sumbawanga - Rukwa...
Dar Es Salaam...
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge