Dkt. Andrew Marcelin Komba
Afisa Mtendaji Mkuu
Wasifu
VITUO VYA UNUNUZI WA AKIBA YA CHAKULA YA TAIFA KWA MSIMU WA 2023/2024
Imewekwa: Jul 24, 2023
MWENYEKITI WA BODI YA USHAURI YA NFRA, BALOZI JOHN ULANGA AKIWA NA MAAFISA KUTOKA NFRA KWENYE BANDA LA WAKALA KATIKA MAONESHO YA BIASHARA 77
Afisa Mtendaji Mkuu wa NFRA, Dkt. Andrew Komba akiwa na Wakurugenzi na Wkuu wa Vitengo Makao Makuu ya NFRA- DODOMA
Picha ya pamoja ya Afisa Mtendaji Mkuu akiwa na Mameneja wa Kanda zoe nane za Wakala
Afisa Mtendaji Mkuu, Dkt. Andrew Komba akipokea Tuzo kutoka kwa Meneja wa Kanda ya Shinyanga Bw. Revocatus Bisama ya Uoneshaji bora katika Maonesho ya Siku ya Mbolea Duniani
Afisa Mtendaji Mkuu akiwana Menejiment ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA.
Meneja Rasilimali Watu wa NFRA, Bw. Mulegi Majogoro akiwa na Wafanyakazi wapya wa Wakala baada ya kupatiwa mafunzo mafupi kufahamu majukumu ya NFRA.
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe akimkabidhi Mkurugenzi wa Huduma Saidizi wa NFRA, Bw. Mohamed Ally, Tuzo ya Ushindi wa Banda Bora la Serikali katika Maonesho ya Siku ya Ushirika yaliyofanyika Kitaifa Mkoani Tabora.
Wafanyaazi wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), wakiwa katika maandamano ya Pamoja kwenye sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo hufanyika mwanzoni mwa Mwezi Mei kila mwaka.
Wajumbe wa Bodi ya Ushauri wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Balozi John Ulanga (katikati) na Menejimenti ya NFRA, wakiwa katika picha ya Pamoja baada ya kumaliza kikao cha (Re treaty) kilichofanyika Jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde, akimkabidhi Meneja wa Kanda ya Shinyanga Bw. Revocatus Bisama, tuzo ya muoneshaji bora katika maonesho ya siku ya mbolea duniani yaliyo fanyika Kitaifa Mkoani Tabora.
Bodi ya Ushauri ya NFRA ikitembelea moja ya kituo cha ununuzi wa nafaka kwa wakulima
shehena za nafaka ya mahindi zilizoletwa katika kituo cha ununuzi cha Isongole Wilaya ya Ileje
NFRA YATOA WITO KWA WAKULIMA KUJIFUNZA MIUNDOMBINU YA KISASA YA UHIFADHI WA CHAKULA.
WAREHOUSES AND MODERN WAREHOUSES
Mradi wa Vihenge vya Kisasa na Maghala ya kuhifadhia Nafaka ulio jengwa katika maeneo ya Babati – Manyara, Kanondo – Sumbawanga pamoja na Mpanda – Katavi.
Karibu kwenye Tovuti ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA, Dhana ya usalama wa chakula nchini ni dhana muhimu ambayo imekuwepo tangu enzi za ukoloni ambapo kufuatia majanga mbalimbali kama vile ukame, mafuriko, nk. Soma zaidi
Dodoma...
TABORA...
KIGOMA...
Dodoma - Tanzania...
Babati - Manyara...
Morogorro....
Mbeya...
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge