Habari

MAAFISA KUTOA ZANZIBAR WATEMBELEA MRADI WA KUONGEZA UHIFADHI (NFRA)

MAAFISA KUTOA ZANZIBAR WATEMBELEA MRADI WA KUONGEZA UHIFADHI (NFRA)
Oct, 23 2023

Maafisa kutoa Wizara ya Kilimo Umwagiliaji Maliasili na Mifugo kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakitembelea Mradi wa kuongeza uwezo wa kuhifadhi Kanda ya Babati - Manyara huku wakipatiwa maelezo ya majukumu mbalimbali ya Wakala kwa Wakurugenzi