NFRA YAINGIA MAKUBALIANO NA SMZ -ZANZIBAR KATIKA MAUZO YA NAFAKA
TANIPAC YAKABIDHI MAGHALA 12 KWA NFRA
NFRA YAPATIWA MAGHALA KUONGEZA UWEZO WA UHIFADHI WA NAFAKA
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
Eneo la Viwanda Kizota Dodoma
2018-04-21 - 2018-04-21
04:00 - 13:000
Uzinduzi
Uzinduzi wa ujenzi wa Vihenge na Maghala ya kisasa utakaofanywa na MH. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa yenye uwezo wa kuhifadhi Tani 250,000 hivyo kufanya Wakala kuwa na uwezo wa Kuhifadhi Tani 501,000
Wananchi wote Mnakalibishwa
Bure