NFRA Yaendesha mafunzo kwa Watumishi wake wa Ubora
Afisa Mtendaji Mkuu NFRA akagua mradi wa kuongeza uwezo wa Uhifadhi
KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
NFRA imeendesha mafunzo kwa watumishi wake wa ubora ili kuwaongezea uwezo wa kudhibithi ubora wa chakula kinachohifadhiwa na Wakala. Soma zaidi
Imewekwa: May 21, 2021
Afisa Mtendaji Mkuu NFRA akagua mradi wa kuongeza uwezo wa Uhifadhi nafaka unaoendelea kujengwa nje kidogo ya Mji wa Babati Mkoani Manyala ambayo ipo chini ya Kanda ya uhifadhi ya Arusha. Soma zaidi
KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA Soma zaidi
Imewekwa: Jan 15, 2020
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula uliingia mkataba wa kuuza tani 17,000 za mahindi na Serikali ya Zimbabwe tarehe 02 Septemba, 2019......... Soma zaidi
Imewekwa: Dec 24, 2019
Mkuu wa kitengo cha usafirishaji Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Ndg Mahamood Mabuyu akizungumza na vyombo vya habari kuelezea hatua za usafirishaji wa mahindi iliyoyanunua kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA kupeleka nchini Uganda Soma zaidi
Imewekwa: Mar 10, 2019
Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wakikagua eneo la Mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa Mkoani Manyara unaojengwa na kampuni ya Unia Araj Realizacje Sp.o.o) chini ya msimamizi wa utekelezaji wa mradi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Soma zaidi
Imewekwa: Feb 01, 2019