Habari

NFRA Yaendesha mafunzo kwa Watumishi wake wa Ubora

NFRA imeendesha mafunzo kwa watumishi wake wa ubora ili kuwaongezea uwezo wa kudhibithi ubora wa chakula kinachohifadhiwa na Wakala. Soma zaidi

Imewekwa: May 21, 2021

Afisa Mtendaji Mkuu NFRA akagua mradi wa kuongeza uwezo wa Uhifadhi

Afisa Mtendaji Mkuu NFRA akagua mradi wa kuongeza uwezo wa Uhifadhi nafaka unaoendelea kujengwa nje kidogo ya Mji wa Babati Mkoani Manyala ambayo ipo chini ya Kanda ya uhifadhi ya Arusha. Soma zaidi

Imewekwa: May 21, 2021

KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA

KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA Soma zaidi

Imewekwa: Jan 15, 2020

NFRA YAKAMILISHA MKATABA WA MAUZO YA MAHINDI TANI 17,000 NCHINI ZIMBABWE

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula uliingia mkataba wa kuuza tani 17,000 za mahindi na Serikali ya Zimbabwe tarehe 02 Septemba, 2019......... Soma zaidi

Imewekwa: Dec 24, 2019

WFP YAISHUKURU NFRA KWA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI MRADI WA MAHINDI

Mkuu wa kitengo cha usafirishaji Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Ndg Mahamood Mabuyu akizungumza na vyombo vya habari kuelezea hatua za usafirishaji wa mahindi iliyoyanunua kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA kupeleka nchini Uganda Soma zaidi

Imewekwa: Mar 10, 2019

BODI YA USHAURI NFRA YATEMBELEA UJENZI WA MAGHALA NA VIHENGE VYA KISASA MKOANI MANYARA

Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wakikagua eneo la Mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa Mkoani Manyara unaojengwa na kampuni ya Unia Araj Realizacje Sp.o.o) chini ya msimamizi wa utekelezaji wa mradi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Soma zaidi

Imewekwa: Feb 01, 2019