NFRA YAINGIA MAKUBALIANO NA SMZ -ZANZIBAR KATIKA MAUZO YA NAFAKA
TANIPAC YAKABIDHI MAGHALA 12 KWA NFRA
NFRA YAPATIWA MAGHALA KUONGEZA UWEZO WA UHIFADHI WA NAFAKA
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
Dira
“ Kuwa Wakala wa kuaminika wenye uwezo wa kukabiliana na upungufu wa chakula kwa wakati ”.
Dhima
“Kuhakikisha upatikanaji wa akiba ya chakula cha kimkakati wakati wa upungufu wa chakula kwa kununua, kuhifadhi, kuzungusha na kuuza chakula kwa ufanisi na kwa manufaa ya jamii.”
Maadili ya Msingi