MENEJIMENTI YA NFRA YAKUTANA KUWEKA MIKAKATI YA KUBORESHA HUDUMA ZA WAKALA.
HONGERA NDUG. JOHN ULANGA
KATIBU MKUU KIONGOZI AFURAHISHWA NA JUHUDI ZA NFRA KWENYE SUALA LA KUPAMBANA NA UHABA WA CHAKULA NCHINI
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) unatoa pongezi sana kwako Ndug John Ulanga Kwa fursa ya nafasi uliyopewa tunakutakia majukumu mema katika uongozi wako mpya na sisi kama NFRA tunaendelea kushirikiana na wewe bega Kwa bega