NFRA YAINGIA MAKUBALIANO NA SMZ -ZANZIBAR KATIKA MAUZO YA NAFAKA
TANIPAC YAKABIDHI MAGHALA 12 KWA NFRA
NFRA YAPATIWA MAGHALA KUONGEZA UWEZO WA UHIFADHI WA NAFAKA
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
Kikundi cha Wakulima wadogo kutoka Wilaya ya Momba Mkoani Songwe wakipata elimu ya uhifadhi pamoja na kufahamu kazi mbalimbali za Wakala katika Maonesho ya Wakulima Nane Nane yanayofanyika Kitaifa Mkoani Mbeya.