Habari

UZALISHAJI WA CHAKULA NCHINI UMEIMARIKA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula nchini imeimarika na kufikia tani milioni 15.9 kwa msimu wa mwaka 2016/2017 na 2017/2018 sawa na kuwa na ziada ya tani milioni 2.6. Soma zaidi

Imewekwa: Apr 25, 2018

RC OLE SENDEKE AIOMBA (NFRA) KUTENGENEZA SOKO LA WAKULIMA NJE YA NCHI

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuwasaidia wakulima nchini kutengeneza soko la mazao mbalimbali wanayozalisha hususani mahindi ili kupata soko la kuridhisha nje ya nchi. Soma zaidi

Imewekwa: Apr 25, 2018