NFRA YAINGIA MAKUBALIANO NA SMZ -ZANZIBAR KATIKA MAUZO YA NAFAKA
TANIPAC YAKABIDHI MAGHALA 12 KWA NFRA
NFRA YAPATIWA MAGHALA KUONGEZA UWEZO WA UHIFADHI WA NAFAKA
Uzinduzi wa Ujenzi wa Magala na Vihenge
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hali ya uzalishaji wa mazao ya chakula nchini imeimarika na kufikia tani milioni 15.9 kwa msimu wa mwaka 2016/2017 na 2017/2018 sawa na kuwa na ziada ya tani milioni 2.6. Soma zaidi
Imewekwa: Apr 25, 2018
Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umetakiwa kuwasaidia wakulima nchini kutengeneza soko la mazao mbalimbali wanayozalisha hususani mahindi ili kupata soko la kuridhisha nje ya nchi. Soma zaidi