Habari

KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA

KAMATI YA PAC YAKAGUA UJENZI WA MRADI WA KUONGEZA UWEZO WA KUHIFADHI NAFAKA UNAOJENGWA NA NFRA Soma zaidi

Imewekwa: Jan 15, 2020

NFRA YAKAMILISHA MKATABA WA MAUZO YA MAHINDI TANI 17,000 NCHINI ZIMBABWE

Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya chakula uliingia mkataba wa kuuza tani 17,000 za mahindi na Serikali ya Zimbabwe tarehe 02 Septemba, 2019......... Soma zaidi

Imewekwa: Dec 24, 2019

WFP YAISHUKURU NFRA KWA USHIRIKIANO KATIKA UTEKELEZAJI MRADI WA MAHINDI

Mkuu wa kitengo cha usafirishaji Mpango wa Chakula Duniani (WFP) Ndg Mahamood Mabuyu akizungumza na vyombo vya habari kuelezea hatua za usafirishaji wa mahindi iliyoyanunua kwa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA kupeleka nchini Uganda Soma zaidi

Imewekwa: Mar 10, 2019

BODI YA USHAURI NFRA YATEMBELEA UJENZI WA MAGHALA NA VIHENGE VYA KISASA MKOANI MANYARA

Wajumbe wa Bodi ya ushauri ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) wakikagua eneo la Mradi wa ujenzi wa Maghala na Vihenge vya kisasa Mkoani Manyara unaojengwa na kampuni ya Unia Araj Realizacje Sp.o.o) chini ya msimamizi wa utekelezaji wa mradi huo ambaye ni Wakala wa Majengo Tanzania (TBA). Soma zaidi

Imewekwa: Feb 01, 2019

Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya NFRA Mhandisi Eustance Kangole akiongoza kikao kazi cha 33 cha Bodi hiyo Jijini Dodoma

Kikao kazi cha Bodi ya Ushauri NFRA chatuama Jijini Dodoma Soma zaidi

Imewekwa: Jan 29, 2019

MAAFISA UGANI NCHINI WATAKIWA KUWA NA MASHAMBA YA MFANO

Maafisa ugani katika ngazi zote za utendaji wametakiwa kuwa na mashamba ya mfano ili kuwasaidia wakulima kwa nadharia kupitia mashamba yao jambo litakalopelekea wakulima kufikia uzalishaji wenye tija na kuimarisha kipato chao ikiwa ni pamoja na kukuza uchumi wa nchi. Soma zaidi

Imewekwa: Jul 18, 2018