Habari

CPA LUPA AKUTANA NA MAKATIBU WAKUU WA WIZARA YA KILIMO

CPA LUPA AKUTANA NA MAKATIBU WAKUU WA WIZARA YA KILIMO
Aug, 13 2023

Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweri akiwa( kulia) na Naibu Katibu Mkuu, Bw. Hussein Mohamed (kushoto) pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa NFRA CPA. Milton Lupa wakiteta jambo katika maonesho ya Wakulima Nane Nane yanayofanyika Kitaifa Mkoani Mbeya.